Friday, November 28, 2014

Graduates,mnahimizwa kutumia (apply) taaluma mnayoipata vyuoni

Ndugu watanzania,tumezoea kugraduate na kusahau kuwa tunahitaji kufanya application ya material tunayokuwa tumeyapata vyuoni.Nawasihi graduates wote mjitahidi kuwa mfano wa kuigwa katika jamii mnakoenda.We have to solve problems and not to cause problems.

No comments: